RC MPWAPWA AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA SHERIA YA UHIFADHI WA MAZINGIRA
Na Barnabas Kisengi -Mpwapwa Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa JABIR SHEKIMWER amewataka wananchi wa wilaya ya mpwapwa kuhakikisha wanatunza mazingira na kuacha tabia ya kukata kuni na kuchoma mikaa na kufanya shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji wilayani hapo. Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara yake ya kukagua vyanzo vya maji wilayani mpwapwa alipokuwa na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed